Tekinolojia ya Mbili-Mbili; kuongeza uzalishaji wa mikunde Afrika Mashariki

Loading...
Thumbnail Image

Date Issued

Date Online

Language

sw
Type

Review Status

Access Rights

Open Access Open Access

Usage Rights

CC-BY-4.0

Share

Citation

Kihara, J.M.; Kinyua, M.W. (2022) Tekinolojia ya Mbili-Mbili; kuongeza uzalishaji wa mikunde Afrika Mashariki. Muhtasari wa tekinolojia 4 p.

Permanent link to cite or share this item

External link to download this item

DOI

Abstract/Description

Mbili-Mbili ni mkakati wa kilimo mseto cha nafaka na mikunde unaohusisha upandaji wa mazao matatu yenye ukuaji na mpangilio tofauti shambani. Tekinolojia hii ilitengenezwa kwa mfumo wa utafiti wa Afrika katika uimarishaji maendeleo endelevu kwa kizazi kijacho. Mradi wa Africa RISING umelenga kuwasaidia wakulima wadogowadogo kuondokana na njaa, uhaba wa chakula, Utapiamlo na umaskini. Hapo awali, kazi kubwa ilifanyika kukuza mazoea ya matumizi ya mbinu bora za kilimo kama vile mchanganyiko wa mbinu za utunzaji rutuba ya udongo (ISFM) ambazo zimeongeza tija ya mahindi kwa mafanikio mazuri.

Author ORCID identifiers

Contributes to SDGs

SDG 2 - Zero hunger
SDG 13 - Climate action
Regions
Organizations Affiliated to the Authors
CGIAR Action Areas
CGIAR Initiatives
Related Material
Related Citation
Kihara, J.M.; Kinyua, M.W. (2022) Mbili-Mbili technology: Increasing legume production in East Africa. Technology Brief 4 p.