Nini tunapaswa kubadilisha ili wakulima wadogowadogo wa Babati wawe na kilimo endelevu na waimarike? Mambo ya kujifunza kutokana na utafiti wa kijamii uliofanyika kwa miaka 10. Muhstasari wa ushahidi kutoka Babati

Loading...
Thumbnail Image

Date Issued

Date Online

Language

sw
Type

Review Status

Access Rights

Open Access Open Access

Usage Rights

CC-BY-4.0

Share

Citation

Kihara, J.; Kinyua, M.; Massam, J.; Pallagjo, R.; Songoyani, I.; Kyekaka, J. (2022) Nini tunapaswa kubadilisha ili wakulima wadogowadogo wa Babati wawe na kilimo endelevu na waimarike? Mambo ya kujifunza kutokana na utafiti wa kijamii uliofanyika kwa miaka 10. Muhstasari wa ushahidi kutoka Babati. 4 p.

Permanent link to cite or share this item

External link to download this item

DOI

Abstract/Description

Muhtasari huu unaonyesha fursa zilizopo ili kufanikisha uzalishaji, lishe, pamoja na kipato kwa wakulima wadogowadogo katika wilaya ya Babati, Tanzania. Maelezo haya yametokana na mfululizo wa majaribio ya kitafiti yaliyofanyika chini ya mradi wa Africa RISING tangu mwaka 2012 ikihusisha majaribio ya rutuba ya udongo, kilimo mseto na tathimini za masuala ya kijamii na kiuchumi. Kazi hii ilifanyika katika vijiji tofauti vya wilaya ya Babati, Tanzania kama vile Long, Seloto, Sabilo, Gallapo, Qash, Ayamango, Riroda, Hallu, Duru na Endanachan. Mahindi, maharage, mbaazi na viazi mviringo ndio mazao makuu yanayolimwa na wakulima wadogowadogo kwa lengo la kupata chakula na pia kwa biashara huku Babati.

Author ORCID identifiers

Contributes to SDGs

SDG 1 - No poverty
SDG 2 - Zero hunger
SDG 12 - Responsible consumption and production
SDG 13 - Climate action
SDG 15 - Life on land
Countries
Organizations Affiliated to the Authors